• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara (MMM) |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga Town Council
Mbinga Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikao na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mipango Miji na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Mawasilianao na Usafirishaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ofisi ya Mbunge
  • Miradi
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
    • Inayotarajia kutekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria ndogo
    • Fomu mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari
      • Agustivo High School

Wafanyabiashara Wachangamkia fursa za Uwekezaji Mbinga

Tarehe ya kuwekwa: September 12th, 2018

Akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyabiashara Wilaya ya Mbinga Mwenyekiti wa kikao hicho Mh. Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Ndg. Cosmas Nshenye aliwaeleza wajumbe wa kikao kuwa umefika wakati wa kuchangamkia fursa zilipo ili waweze kuwekeza na kufikia malengo ya Serikali ya awamu ya tano kuwa na Viwanda vya kutosha.

Kikao hicho cha leo kilikuwa ni mwendelezo wa kikao cha awali kilichofanyika tarehe 24/11/2018 ambapo fursa mbalimbali za uwekezaji zilianinshwa kama vile, Uendelezaji wa Kilimo na Umwagiliaji, Mifugo na Uvuvi, Uendelezaji wa Misitu, Viwanda, Mawasiliano na usafirishaji, Utalii n.k

Wakichangia kupitia yatokanayo ya kikao kilichopita, wajumbe wa Kikao hicho wameonyesha wapo tayari kufanya uwekezaji kwenye maeneo yaliyotengwa na waliomba watendaji waharakishe michoro na upimaji wa maeneo hayo ili shughuli za uwekezaji zifanyike kwa wakati.

Katika kikao hicho pia Wafanabiashara kupitia chama chao cha TCCIA (TANZANIA CHAMBER OF COMMERCE, INDUSTRY AND AGRICULTURE) waliweza kuelezea baadhi ya changamoto zao ambazo zinakwamisha au kupunguza kasi ya uwekezaji. Baadhi ya changamoto hizo ni pamoja na Kushuka kwa bei za mazao hadi kufikia 30% hususani zao la Mahindi ukilinganisha na bei ya mwaka 2017 , Kupanda kwa bei za bidhaa za viwandani hasa Pembejeo za kilimo, Kuchelewasha upimaji wa maeneo ya uwekezaji, na changamoto kubwa zaidi ni Kukatika katika kwa umeme jambo ambalo linakwamisha shughuli za uzalishaji  katika viwanda vilivyopo na kukwamisha juhudi za wanaohitaji  kuwekeza kwenye sekta ya  viwanda.

“ kwakweli Ndugu Mwenyekiti tatizo la kukatika kwa umeme hapa Mbinga sasa limekuwa ni kubwa mno kiasi kwamba shughuli nzima ya ukoboaji wa kahawa kukwamishwa na ikumbukwe kwamba kahawa ni zao ambalo likikwamishwa katika hatua fulani ya mchakato wake basi ubora wake hushuka kwa kiasi kikubwa…tunaomba uongozi wa TANESCO uangalie namna ya kutatua tatizo hilo hasa kipindi hiki cha Msimu wa Kahawa…” alisema Mjumbe Ndg. Jonas Mbunda Meneja wa Kiwanda cha Kahawa Mbinga.

Moja ya azimio kubwa la kikao hicho ilikuwa ni kwamba Meneja wa TANESCO ahakikishe ameomba kibali maalumu cha kuhakikisha kuwa umeme wa uhakika unapatikana hasa katika kipindi hiki chote cha msimu.

Matangazo

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2018 Yatangazwa Rasmi October 23, 2018
  • Matokeo Kidato cha Sita 2018 July 13, 2018
  • Collection of Own Sources January 14, 2019
  • TANGAZO KWA UMMA April 19, 2018
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Asilimia 92.27 ya wahitimu wa darasa la saba wachaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka 2020

    December 07, 2019
  • CHADEMA wapata pigo Diwani ajiuzulu Mbinga Mjini

    November 07, 2018
  • Wafanyabiashara Wachangamkia fursa za Uwekezaji Mbinga

    September 12, 2018
  • Waratibu Elimu Kata Wakabidhiwa Pikipiki 19 Mbinga Mjini

    July 27, 2018
  • Tazama zote

Video

Kiongozi wa Mbio za Mwenge akikagua Mradi wa Maji Kagugu Mbinga Mjini
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Mbinga District Council Website
  • Tunduru District Council Website
  • Madaba District Council Website
  • Nyasa District Website
  • Namtumbo District Website
  • Songea District Council Website
  • Songea Municipal Website

Tovuti zinazohusiana

  • NECTA
  • TAMISEMI
  • AJIRA
  • WATUMISHI PORTAL
  • NACTE
  • PREM

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    MBINGA

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 135

    Simu ya Mezani: +225 - 2640664

    Mobile: +225 – 2640664

    Barua pepe: td@mbingatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 MBINGA TOWN COUNCIL . All rights reserved.